1-walinzi wengi huwa ni comedians
2-tajiri anakuja kumpenda masikini
3-jambazi lazima awe anavaa miwani nyeusi na
mvuta sigara na koti refu jeusi
4-wote wanaouwawa kwa bunduki hupigwa kifuani
au tumboni sio kichwani
5-mtu yupo village,life gumu ana wave kichwani
6-wimbo wa malavidavi unaimba mpaka unaisha
7-nusu saa mtu anatembea, anakimbizwa,
ananunua vitu
8-wakifika hotelini imezoeleka ni juice au wine
isiyofunguliwa
9-madem wanaamka wana makeups usoni na
hereni kabisa
10-part 2 ya movie ukiiona mwanzo unajua part 1
ilikuwaje
11-jini akifika barabarani anaangalia pande zote ndo
Post a Comment